Quantcast
Channel: Mediamax Network Limited
Viewing all 23783 articles
Browse latest View live

Polisi kutumwa Natooli kudhibiti usalama

$
0
0

clashes

Polisi wa kutuliza hali wametumwa eneo la Natooli mjini Naivasha baada ya mapigano kuzuka na kusababisha kifo cha mtu mmoja, wengine kadhaa kujeruhiwa na zaidi ya mbuzi 400 kuibwa. Inadaiwa mapigano hayo yalizuka baada ya jamii mbili kuzinazozozania kipande kimoja cha maelfu ya ardhi. Katika kisa hicho nyumba kadhaa zimeteketezwa moto. Wenyeji wanataka hatua za haraka kuchukuliwa kukabili hali. Mwili wa mwendazake ungali katika eneo la tukio

The post Polisi kutumwa Natooli kudhibiti usalama appeared first on Mediamax Network Limited.


Magari ya uchukuzi kuwasilisha leseni kwa afisi ya kauti

$
0
0

matatu (1)

Magari yote ya uchukuzi yametakiwa kuwasilisha leseni zao za kazi kwa afisi ya kaunti kwa ukaguzi kabla ya tarehe 6 mwezi huu. Naibu gavana wa Nairobi Jonathan Mueke anasema itawezesha kuleta udhibiti katika sekta ya uchukuzi. Akizungumza baada ya kukutana na viongozi wa muungano wa magari hayo, Mueke hata hivyo anasema magari hayo yatendelea kuegeshwa mjini huku uongozi ukitafuta maeneo mbadala ya nje ya mji

The post Magari ya uchukuzi kuwasilisha leseni kwa afisi ya kauti appeared first on Mediamax Network Limited.

Squatters Protest alleged grabbing of Chepchoina land

Hepatitis A Outbreak : No. of cases reported in Mombasa rises to 61

$
0
0

doc

https://www.youtube.com/watch?v=kVBdQlW60RI

The number of patients reported with Hepatitis 'A' in Mombasa county has risen to 61, with 51 more people testing positive in an ongoing surveillance by public health officers.
According to the Mombasa county health executive majority of the cases are suspected to have arisen from the consumption of water drawn contaminated sources.

The post Hepatitis A Outbreak : No. of cases reported in Mombasa rises to 61 appeared first on Mediamax Network Limited.

Magavana wapongeza hotuba ya rais

$
0
0

President Uhuru Kenyatta hands a report to Speaker of the National Assembly Justin Muturi (left) and his Senate counterpart after giving the State of the Nation address yesterday. Photo/KENNA CLAUDE

Magavana nchini wamepongeza hotuba ya rais kwa taifa wakikubaliana na kauli yake kwamba bado wakenya hawajafikiwa na ugatuzi ilivyotarajiwa. Gavana wa Bungoma Ken Lusaka anakiri changamoto kuu ambayo badi inakabili mfumo wa ugatuzi ni kutolewa fedha kwa wkakati unaofaa. Newton Mudaki anaangazia taarifa hiyo kwa undani.

The post Magavana wapongeza hotuba ya rais appeared first on Mediamax Network Limited.

MP Isaac Mwaura : Disabled candidates should be allocated more time

$
0
0

isaac

https://www.youtube.com/watch?v=E_m-4BcFggM

The government has been urged to put into consideration the needs of persons living with disabilities in its new push for the review of the education curriculum. Speaking at a seminar for special education teachers in Ruiru town, nominated MP Isaac Mwaura said students with various forms of disabilities should be allocated more time when sitting for national examinations.

The post MP Isaac Mwaura : Disabled candidates should be allocated more time appeared first on Mediamax Network Limited.

Mombasa Governor Joho says he will run for presidency in 2022

$
0
0

joho

https://www.youtube.com/watch?v=n9pKd_JFNyQ

Mombasa governor Ali Hassan Joho, has declared his interest in the Presidential seat in the year 2022 but says he will support ODM leader Raila Odinga to be the cord presidential flag-bearer in 2017 .
Joho says he will soon be mobilizing other governors from the coast region to chart the way forward for the region ahead of the 2017 campaigns and hopes to get support from Nyanza region and rest of the count for his 2022 bid.

The post Mombasa Governor Joho says he will run for presidency in 2022 appeared first on Mediamax Network Limited.

Here are some of the jokes your celebrities played or got played on Fools Day


Protests after police officer shoots dead a resident while dispersing a crowd

Atongoria a makanitha kwendekithia IEBC iyeherie

$
0
0

NCCK

Atongoria a makanitha guku bururi-ini rungu rwa kanju ya NCCK, nimendekithitie makamishna a kamiti ya mihaka na ithurano IEBC makorwo makiyeheria mbere ya githurano kinene kia mwaka turorete, itemi-ini ria gutigirira ithurano niciahanika na njira ya uma na waragania. Atongoria acio nimatariirie ati kuona kandarathi ya makamishna acio ibatie guthira mweri wa ikumi na umwe mwaka ukite, ni hari bata kamiti iyo ikorwo ikiyeheria kana ikiongererwo ihinda niguo gutigirira ithurano icio ciatabanio gutari na wagagu oro wothe.
Ihinda-ini oro riu atongoria acio nimoritie acirithania na makiria a igoti inene ria Supreme marumirire nginyo cia mucirithania munene Dagitari Willy Mutunga, wa kwiyeheria mwaka umwe mbere ya ihinda riake ria gutungata guthira, niguo gutigirira mateta maria mangiyumiria thutha wa githurano nimarorwo na njira nginyaniru.

The post Atongoria a makanitha kwendekithia IEBC iyeherie appeared first on Mediamax Network Limited.

Sokomoko Muliro Gardens Wetangula akitarajiwa kuzindua azma yake ya urais

$
0
0

mulirochores

Wahuni wavamia jukwaa litakalotumika Muliro Gardens usiku wa kuamkia leo. Wenyeji wa kaunti ya Kakamega wanaendelea kujitokeza katika bustani ya Muliro mjini humo tayari kwa hafla ya seneta wa Bungoma Moses Wetangula kuzindua azma yake ya kuwania urais. Mapema leo seneta wa Kakamega Bony Khalwale alisema waliweza kulikabili kundi la vijana waliojaribu kuharibu jukwaa litakalotumika kwenye hafla hiyo usiku wa kuamkia leo. Khalwale anasema maandalizi yamekamilika.

The post Sokomoko Muliro Gardens Wetangula akitarajiwa kuzindua azma yake ya urais appeared first on Mediamax Network Limited.

Over 200 students whose results were cancelled set to resit their exams this year

$
0
0

Hush! as KCPE exams commence

https://www.youtube.com/watch?v=aQ_RdN3jv54

Two hundred and fourty two students of Nambale High School in Bungoma county whose KCSE results were cancelled by the kenya national examination council will re-sit for their exams this year,, this is was stated by the Board of Management chairman Dr Robert Magina during a meeting with parents and affected students at the school.

The post Over 200 students whose results were cancelled set to resit their exams this year appeared first on Mediamax Network Limited.

Mati Murithi ‘Kwa Ng’ombe ii Tharaka’ Rahim ‘Kwa Ng’ombe ii North Imenti’

$
0
0

SEWAGE

Munini wa governor county ya Tharaka Nithi Eliud Mati Murithi namenretie itagaria rea thirikari ya County ya Meru rea kubanga gwaaka Sewage kienine kirea kiri mwankene jwa Tharaka na Meru Kwangombe.

Amwe na buu mubunge wa North Imenti Rahim Dawood augite wee atiramenyithua nuu ukubanga gwikia sewage nteere iu cia Kwang’ombe narea augite Kwang’ombe ni gicigone kiawe na ti Tharaka.

The post Mati Murithi ‘Kwa Ng’ombe ii Tharaka’ Rahim ‘Kwa Ng’ombe ii North Imenti’ appeared first on Mediamax Network Limited.

Residents from Siberia, Nyahururu Sub-county demonstrate over move to evict them

$
0
0

Nyahuru-Land-tussle-

https://youtu.be/chxLnP6YurY

Residents from Siberia in Nyahururu sub-county are an angry lot.

The residents  claim that they  inherited the piece of land from  a white settler in early 1962 where they worked as labourers.

Anthony Mwangi  a resident  in the are noted that Justice should be served, as they had no where else to call home

Residents who had already  developed their farms  and were preparing for  the planting season now termed the decision to evict them as unfair

The post Residents from Siberia, Nyahururu Sub-county demonstrate over move to evict them appeared first on Mediamax Network Limited.

Church leaders allege that Governor Mwangi Wa Iria is attacking the church

$
0
0

mwangi-wa-iria

https://youtu.be/x6L72mrkGEg

The catholic diocese of Murang’a youth leaders have castigated sentiments made by Murang’a governor Mwangi Wa Iria which seemed to indicate that the governor was making a direct attack to the Diocese Bishop Maria Wainaina.the youth’s leaders; Crispin Walumbe, Magochi Murathi, Ambrose Manyeki,  termed Wa Iria’s statements as unbelievable and worrying.

The post Church leaders allege that Governor Mwangi Wa Iria is attacking the church appeared first on Mediamax Network Limited.


Ajali yawaacha watu 14 na majeraha

$
0
0

mariakaniaccident

Watu 14 wanauguza majeraha baada ya kuhusika katika ajali kwenye barabara ya Machakos kuelekea wote. Wanaendelea kutibiwa katika hospitali ya Machakos level 5. Ajali hiyo imehusisha basi la abira na gari moja dogo. Gari hilo lilikuwa likisafirisha waumini wa kanisa moja kutoka eneo la Mavindini.

The post Ajali yawaacha watu 14 na majeraha appeared first on Mediamax Network Limited.

Women in Mukinyai village, Molo, take it upon themselves to fight illicit brew

$
0
0

Illicit-Brew

https://www.youtube.com/watch?v=psbo1b6bQEI

A group of women in Molo district in Mukinyai village have taken it upon themselves to fight the sale of illicit brew in their locality.

The angry women protested against the failure by the police and the Provincial Administrator to fight the sale of illicit brew. In addition to that they decided to forward their complaints to the Sachangwan Police Post.
Mary Wangeci one of the residents added that the men in the area who indulged  in taking of the illicit brew are unable to perform  their marital obligations.
Joseph Mwangi who is also a resident in the area said that most of the youth in the area have have lost their lives due to the consumption of the illicit brew.

The post Women in Mukinyai village, Molo, take it upon themselves to fight illicit brew appeared first on Mediamax Network Limited.

#RememberingGarissa: Maadhimisho ya wanafunzi 147 waliouawa chuo kikuu Garissa

$
0
0

#147

Hafla ya maadhimisho ya mwaka mmoja tangu kuuawa kwa wanafunzi wa chuo kikuu cha Garissa wakati wa shambulizi la kigaidi katika chuo hicho inaendelea kwa mjini humo. Hafla hiyo inahudhuriwa na gavana wa kaunti hiyo Nadhif Jama na kiongozi wa wengi katika bunge la taifa Aden Duale ambao wamesisitiza haja ya wakenya kuungana katika kukabili visa vya ugaidi. Duale anasema visa vya kigaidi vimepungua nchini na hasa eneo la Kaskazini Mashariki kutokana na kuimarishwa kwa usalama baada ya shambulizi hilo la Garissa. Jijini Nairobi jamaa za wanafunzi waliofariki katika shambulizi hilo wamekutana katika bustani ya Uhuru na kuwasha mishumaa kama njia moja ya kuwakumbuka. Wametaka wakenya kuungana nao katika maombi kutokana na ugumu wa kuwapoteza wapendwa wao. Baadaye gavana wa Garissa Nadhif Jama anatarajiwa kuzindua mnara wa majina ya wanafunzi 147 waliofariki kwenye shambulizi hilo.

The post #RememberingGarissa: Maadhimisho ya wanafunzi 147 waliouawa chuo kikuu Garissa appeared first on Mediamax Network Limited.

Hafla ya uzinduzi wa urais ya Wetangula yavurugwa

wanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi waandamana

$
0
0

IMG-20160402-WA0031

Shughuli za usafiri zimeathirika kwenye barabara ya Nyerere na University way kufuatia makabiliano baina ya polisi na wanafuzi wa chuo kikuu cha Nairobi.Wanafunzi hao wanalamilkia matokeo ya uchaguzi wa viogozi wa wanafunzi wa chuo hicho hicho baada ya Babu Owino kuchaguliwa kuwa mwenyekiti. Polisi wanazuliwa wanafunzi 20 wa chuo hicho kwa kushiriki maandamano

The post wanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi waandamana appeared first on Mediamax Network Limited.

Viewing all 23783 articles
Browse latest View live